Home » Archive for December 2012
P FUNK KUTOKA NA NO NAME
Producer mkongwe wa mziki wa kizazi kutoka studio za Bongo Records, P funk amefunguka kupitia ukurasa wake wa face book kuwa wiki hii single ya kwanza kutoka katika album ya kundi la No name itaanza kusikika redioni kuanzia leo.
kundi la NO NAME linaundwa na maproducer Lamar,Dunga, John Mahundi,P Funk na Karabani,single itakayojulikana kwa jina la HANDS UP.
P funk aliweka wazi kuwa albamu hiyo ya pamoja itakuwa na mchanganyioko wa ladha tofauti tofauti kama vile ragga;Bongo favaor,afro pop na Soca.
kundi la NO NAME linaundwa na maproducer Lamar,Dunga, John Mahundi,P Funk na Karabani,single itakayojulikana kwa jina la HANDS UP.
P funk aliweka wazi kuwa albamu hiyo ya pamoja itakuwa na mchanganyioko wa ladha tofauti tofauti kama vile ragga;Bongo favaor,afro pop na Soca.
Posted by DENNIS JUMA
at 2:12 AM,
Add Comment
Read more
T.I AZINDUA KAMPENI YA GIVE LIKE A KING
![]() | ||||||||||
| T.I |
kampeni hiyo itakayo zinduliwa na rapa T.I siku ya ijumaa ya tarehe 14 mwezi huu,katika uzinduzi huo T.I ataeleza ni jinsi gani ameweza kushirikiana na shirika la Veterans Empowerment Organization( VEO) kuwahamasisha maelfu ya washabiki wa mziki wa rap nchini marekani kuchangia fedha kwa ajili ya kuwasaidia watu wasio na makazi nchini Marekani;
kwa mujibu wa shirika la VEO watu zaidi ya 300;000 hulala nje kila siku inapofika usiku nchini humo hivyo kampeni hiyo imelenga kuwasaidia watu hao kuondokana na tatizo hili sugu linalowakabiri.
shirika la VEO linashughulika na huduma za maladhi na makazi kwa watu wasio na makazi nchini Marekani.
'
Posted by DENNIS JUMA
at 12:53 PM,
Add Comment
Read more
Subscribe to:
Comments (Atom)


