Latest Updates

AHOFIA USALAMA WAKE BAADA YA KULALA NA DRAKE

Mwanadada anayejulikana kwa jina almaarufu kama Johni Blaze ambaye ni mnenguaji katika moja ya Kasino maarufu nchini Marekani, amemfungulia mashtaka rapa Drake kwa madai ya kuwa rapa huyo anawatuma watu kumtishia maisha mwanadada huyo suala linalompelekea dada huyo kuishi kwa wasiwasi. mwanadada huyo alifikisha tuhuma hizi polisi akiwa na madai kuwa mwanamuziki Drake anamtumia magenge ya watu kumtisha mwanadada huyo ili asiweze kuvujisha siri ya mahusiano ya mapenzi ya siri yaliyokuwa yakiendelea kati ya mwanadada JOHNI BLAZE na rapa DRAKE kwa hofu ya kuharibu sifa kwa mashabiki zake kwa kushiriki kimahusiano na changudoa. hata ivyo watu wa karibu na mwanamziki DRAKE Walikanusha madai ya mwanadada huyo kushiriki tendo la ndoa na mwanamziki Drake na kuyataja mashitaka na madai ya mrembo huyo kama mbinu chafu anazifanya mwanadada huyo ilikuweza kujipatia umaarufu kupitia jina la mwanamziki DRAKE